Home Back

Mtatizo ya Yanga Yanafichwa na Matokeo yao - Tunda Man

udakuspecially.com 2024/7/6

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mtatizo ya Yanga Yanafichwa na Matokeo yao - Tunda Man

Msanii wa Bongo Fleva na mwanachama wa Simba SC, Tunda Man amesema timu yao inapitia kipindi kigumu kwenye uwanja na ndio maana kila mtu anazungumza lake.

Amesema hata Yanga, wanaweza kuwa na matatizo lakini hayawezi kuonekana kirahisi kwa sababu wanapata matokeo uwanjani.

"Leo huwezi kuona Yanga wana tatizo hilo kwa sababu ya matokeo ambayo wanayapata kwenye pitch (uwanjani).

"Leo hata kama Yanga kuna tatizo limejificha lipo wazi na mtu analiona shabiki hawezi kuliongea kwa sasa hivi kwa sababu anajua timu inafanya vizuri. Kwa sababu 51% sisi mashabiki tunataka furaha tu. Hadi Leo nimekuwa mawanachama wa Simba nalipia Simba, nanunua jezi, naingia uwanjani kwa sababu nataka furaha" alisema Tunda Man.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:

-------------------

GOODLUCK

People are also reading