Rais Samia Alivyowasili Jijini Dar baada ya kuhudhuria Uapisho wa Rais wa Afrika Kusini
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan Juni 19, 2024 amewasili Jijini Dar es Salaam mara baada ya kuhudhuria hafla ya Uapisho wa Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa iliofanyika Pretoria jana.