Home Back

Huyu Hapa Beki Ghali zaidi Tanzania

udakuspecially.com 2024/10/5

Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Bonyeza Hapa



Kwenye mkataba mpya aliosaini nahodha wa Yanga SC, Bakari Mwamnyeto, atalipwa :

300 Million Signing fee.

15 Million salary per month.

Katika mkataba mpya wa miaka miwili, Nondo atalipwa jumla ya Tsh 660 Milioni :

Tsh 15m × 24 = 360 million

Tsh 300 million signing fee.

Total = 660 Million per two years.

Remember :

Kwenye mkataba ulioisha Nondo alikuwa akilipwa Tsh (13) Million kwa mwezi.

Kwa Wachezaji wa Ndani huyu ndio Beki anayelipwa mkwanja mrefu zaidi ya wote

_________

LOVE STORY YA UTANIKUMBUKA NEYLA Ipo tayari ni maandishi na Sauti !, Kuisoma yote Bonyeza HAPA Lipia tsh 1000 Tu mtandao wowote,au Tembelea www.makapedia.com

People are also reading